.

Tuesday, June 14, 2011

"WAHESHIMIWA MPOOOOO?"



Rais Barack Obama na swaiba wake David Cameron wakijianda kwa mazoezi ya kucheza mpira wa meza (TABLE TENNIS)
 
 
"GIVE ME GWARA"
"KUMBE NA YEYE ANATUMIA MA-LEFT KA MIMI?"
"UTAJUA KWA NINI WAZUNGU WENZAKO WAMENIPA UONGOZI WA USA"
 
 
"OOHHH KWELI WEWE MKALI KAKA"
 
 

"TUPENDE VYA KWETU ASILI YA BABU ZETU"


BHOKE ALIPOPOKELEWA NA MAMA YAKE.
 
HAPA AKIFANYA MAHOJIANO NA WAANDISHI WA HABARI.
 

 
BHOKE EGINA.
 

Monday, June 13, 2011

DOGO NAYE APATA AMPENDAYE.

JUSTIN BIEBER NA MPENZI WAKE

 







    



"Baby me naona hapa hapafai ni bora tuhame au wewe unasemaje?"
 
 
"Huku safi sana maana tuko peke yetu"
 
"Sasa tunaweza enda fanya mambo yetu ndani" Huyo ni Justine Drew Bieber(17) akiwa na mpenzi wake ajulikanae kwa jina la Selena Marie Gomez (18)

"KWEWLI JELA NJAA"

Jamaa akimlamba mkewe, sasa sijui ni njaa au ndyo malavidavi?

Friday, June 10, 2011

MFALME AMERUDI.

Mwanamuziki machachari wa Marekani ambaye ni  rapper TI., amezungumza na mashabiki wake kupitia mtandao wake kua sasa yuko huru.
             " What up world? Been a minute. I’d like to thank you all for the thousands of letters, cards, books, pictures and words of encouragement. I’m truly grateful. I’m sure you already know I’m nearing the end of this chapter of my life, and looking forward to taking all of the things I’ve learned with me while leaving all the rest of the “BS” behind. I’ve been tuned in somewhat to what’s been happening out there. I can’t even begin to tell y’all how much being on the outside looking in, having to witness all that’s going on (and not going on) in the game affects me. Not being able to do what I love especially. It’s like a whole other sentence within itself. But I really do appreciate all the love, respect, shout outs and salutations during this very difficult period in my life. Everybody from da homies Weezy, Killa Mike, R. Rozay my lil bruh B.o.B, Terrence J (106 & Park) and my “durty” Nelly. Regardless of whether the gestures were the greatest or the smallest, they still meant the world to me. REAL TALK. The separation from my art has definitely sparked an inferno of inspiration that will soon be felt by all. As a matter of fact, to show my appreciation to those that have been in support of me and granted the requests of TEAM T.I. I’ll be releasing a record in the near future (couple of weeks tops) to hold y’all over til I get back in action. During this time of seclusion I have developed a mind full of thoughts, ideas, plans and strategies of change to incorporate into my professional endeavors, as well as my personal lifestyle. But none of them is as strong as my determination to conquer my own imperfections and my will to WIN NO MATTER WHAT!!!
I love, respect and appreciate all those who have stood beside me and I have accepted those you didn’t. But one things for sure and two for certain. As long as the Most High blesses me with the ability to live and breathe….My campaign will continue!!! Stronger, smarter, bigger and better than ever. For those that doubt that…See me when they free me"

Swali ni kwamba Je! atamuomba Obama amkate mkono kama alivyowahi kuahidi kua akigundua kua mkewe alikua akimsaliti, anaomba mkono wake ukatwe maana anaweza akafanya mambo makubwa na ya kutisha?

"JAMANI KAMA SI UCHOKOZI KWA WAUME ZA WATU NI NINI?"





MSANII wa Bongo Flava, Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz aka Rais wa Wasafi hivi karibuni kafikishwa polisi kwa madai ya kushindwa kurudisha mkwanja aliokopa! Diamond alifikishwa katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay jijini Dar es Salaam akidaiwa kujipatia mamilioni ya mkwanja za jamaa aitwaye Msafiri Peter aka Papaa Misifa,ambapo ilidaiwa kuwa Diamond alimuomba ampatie milioni 30 ili atoe albamu yake na wakaandikishiana mkataba kuwa atakuwa akimpa asilimia flani kiaina ya mauzo na mapato ya shoo atazokuwa anafanya.

Lakini Diamond amekuwa akienda kinyume mkataba huo na kwa sasa anadaiwa shilingi milioni 70, yaani milioni 30 alizochukua na milioni 40 za fidia ya kuvunja mkataba huo…. Papaa Misifa amefunguka kukiri kumfikisha msanii huyo polisi na kumfungulia jalada la kesi lenye namba OB/RB/9343/11

Hivi sasa Diamond yuko nchini Sweden kupiga showz kadhaa..

Thursday, June 9, 2011

"HAWA NDIYO WANAOPOTEZA FEDHA KWENYE TIMU ZETU HAPA NCHINI"

Ugumu wa maisha umewafanya vijana kubunu biashar zilizo halali na zisizo halali. Ukipita maeneo ya Kariakoo na Karume utaona kuna jezi za timu mbalimbali za hapa nchini na nje ya nchi yetu zikiwa zimetandazwa chini, swali ni je! wenye timu zao kama Simba, Azam Fc, Yanga na nyingine nyingi zimetoa vibali kwa vijana hawa kuuza jezi hizi?

"BAJETI IMEWAKUMBUKA WATU HAWA?"

Wapo vijana ambao maisha yao hutegemea zaidi foleni ya jijin Dar-es-salaam kama anavyoonekana kijana huyu kwenye picha kijana huyu alipokua akiuza samaki maeneo ya Mikocheni, ambapo anasema kwa eneo la Mikocheni wangejengewa eneo la kuuzia samaki wao.





Wednesday, June 8, 2011

"NCHI SI MASKINI WEWE NDIYO MASKINI"

Hili ni burungutu la hela tena haziko Bank ni za mtu binafsi tena ziko tu stoe kwake sasa ukisema nchi ni maskini wakati wenzio wanachezea hela watakushangaa sana. "NCHI SI MASKINI WEWE NA MIMI NDIYO MASKINI"

"KWELI MUUMBA KAUMBA"

Huyu ni kijana mdogo ajulikanae kama Geoff Pastos na hiyo iliyo kwenye miguu yake ni pikipiki ya kuendesha watu wazima kama mimi na wewe lakini kwa kijana huyu ni kama ya kuchezea tu, na hapa alikua anapiga picha ya tangazo, "KWELI MUUMBA KAUMBA"

WILL SMITH ALA BATA KAMA KAWA.

Kuna uvumi ulizagaa kua muigizaji Willard Christopher (Will Smith) ameaga dunia, imegundulika jamaa yupo na kula bata kama kawa, uvumi huo uliovumishwa kutoka kwenye mtandao wa Fakeawish.com ndiyo ulitoa taarifa zisizo rasmi kupitia ukurasa wake wa Facebook na Twiter. Tunapenda kuwaomba viombo husika wasiwe wanatoa taarifa bila kuzifanyia uchunguzi wa kina kwani watalaamu wa mambo wanasema "NO RESEACH, NO RIGHT TO SAY"

Tuesday, June 7, 2011

"HATA KUCHIMBA SHIMO LA TAKA NI JUKUMU LA SEREKALI"?


Wananchi waliowengi kutupa takataka maeneo yasiyo rasmi na mwisho wa siku mvua inaponyesha huanza kulalamika eti serekali na utendaji wake hawashughulikii suala la usafi. Sasa serekali ifanye mambo mangapi, hata kuchimba shimo la taka ni jukumu la serekali?

KUNA ULAZIMA WA KUKAA NUSU UCHI NDIYO UWE STAR? WATAZAME HAWA.






Kuna mavazi ya kuvaa usiku na mavazi ya kuvaa mchana, lakini dada zetu wengi huwa hawalizingatii hilo hata kidogo lakini pia tunaweza tusiwalaumu sana maana yawezekana hwana uwelewa wa mavazi na ndiyo maana wanachanganya mavazi. Tujifunze toka kwa wenzetu wa nje wao wana watu wao kwaajili ya mavazi wanao washauri ni nguo gani na wakati gani wavae.

Monday, June 6, 2011

"AISEE BABAANGU....CHESMA NA MKE WANGU USICHESE NA KASIAANGU"

Mr. Asenga ni shoe shiner maarufu jijini Dar-es-salaam anayefanyakazi ndani ya Bar ya Mango Garden Kinondoni, na yuko kwa mda mrefu sasa na yeye kama yeye ajidai kwa kukaa mda mrefu eneo hilo la biashara yake hiyo na kuendesha maisha yake ya kila siku. katika ofisi yake ana kandambili zisizopungua 20 kwaajili ya wateja wake wanapofika eneo hilo la biashara.




"Biashara ni hasubuhi atii jioni kwa mama Manka kujipongeza." Mr. Asenga akihesabu mkwanja baada ya kumaliza kazi ya mteja wake. Licha ya kua na kandambili zaidi ya 20, Asenga anasema kuna wakati wateja wake wengine hukosa ndala maana zote zinakua tayari zina watu tayari hata hivyo amesema otabidi atafute kijana wa kumsaiadia kazi ili na yeye awe BOSS.

MTANASHATI WA DUNIA AJIFUNZA U-BAA MEDI.

Kijana Kamal Ibrahim, ambaye ni mshindi wa Mr World 2011, katika tafrija iliyofanyika Chikago nchini marekani, kwenye tafrija hiyo jamaa alionekana akiwahudumia wageni waalikwa kana kwamba na yeye si mgeni mualikwa, lakini baadaye jamaa alisema anafanya hivyo kama kujifunza kutoa huduma za hotel ili aweze kuisaidia jamii yake ipasavyo. Katika tafrija hiyo pia alikuwepo mlimbende wa dunia Alexandria Mills 2010, na mlimbwende wa Afrika Emma Wareus ambapo kwa pamoja walijifunza mambo mbalimbali yahusuyo watoto na jamii kwa ujumla. Wabongo hapo vipi? Mkipata jina kidogo tu hamtaki kusalimia watu na magari yenu mnaweka tinted eti mnakwepa usumbufu kwa watoto nyooooooooooooo!!!!!!!

RIHANNA AITETEA VIDEO YAKE MPYA


Rihanna Mwanamuziki wa Marekani ameamua kuitetea video yake mpya ya "MAN DOWN" Kwa kile kilichoelezwa kua ndani ya video hiyo kuna vitendo ambavyo watoto wanaweza kujifunza mambo ya kigaidi Rihhana naye alifunguka na kusema kila mzazi anajukumu la kumlea mwanaye katika maadili mazuri ili asijiingize kwenye vitendo viovu na si video yake ndiyo itachochea uovu kuwepo.