.

Monday, June 6, 2011

RIHANNA AITETEA VIDEO YAKE MPYA


Rihanna Mwanamuziki wa Marekani ameamua kuitetea video yake mpya ya "MAN DOWN" Kwa kile kilichoelezwa kua ndani ya video hiyo kuna vitendo ambavyo watoto wanaweza kujifunza mambo ya kigaidi Rihhana naye alifunguka na kusema kila mzazi anajukumu la kumlea mwanaye katika maadili mazuri ili asijiingize kwenye vitendo viovu na si video yake ndiyo itachochea uovu kuwepo.

No comments:

Post a Comment