.

Sunday, June 5, 2011

JAMANI MSIPANUE BARABARA

Mtot huyu alitakiwa kuwa darasani lakiniyeye mwenyewe anasema amejiajiri kwa kuomba barabarani kama nilivyomkuta maeneo ya barabara ya Morogoro wakati wa mchana. Nlipojaribu kumuuliza kuhusu shule, alisema yeye anawatunza wadogo zake kwa kipato hicho hicho cha kuomba barabarani hivyo anaiomba serekali isitishe zoezi la kutaka kupanua barabara maana hakutakua na foleni tena na wao watakufa njaa. "MAKUBWA"


Hawa ni vijana wa biashara ndogondogo nao kama wanamuunga mkono huyo mtoto lakini hawa walikutwa nilikutana nao maeneo ya magomeni Moroko. Ambapo hawa nao wanaendesha biashara yao kuptia foleni hizihizi.

BIRTHDAY PARTY YA DYANA YAJAA VITUKO.


Diana akiwa anaingia ukmbini akiwa na Matron wake Leyler.


Elizabeth Michael "LULU" alkimpa nasaha za kuwa makini na fani anayoifanya kwa kujiepusha na Mapedeshee wa na akazanie masomo.

Baada ya Lulu kumkabidhi mic, naye Dyana aliyekua akitimiza miaka 16, alitangaza kuwa tayari ana mtu anayempenda kwa dhati na hafikirii kumuacha leo wala kesho. Swali likawa ni nani na umri gani? "YAANI KITUKO CHA MWAKA"

"Shosti umelikoroga" Lulu alisikika akimwambia Dyana kua kitendo cha kutangaza kua ana mpenzi amekosea kwani kapokea message inayomwambia Lulu kua kwa nini hakutaja jina la huyo mpenzi wake?


"Shosti punguza huzuni mbona ya kawaida hayo."


"Kweli nimelikoroga"

Muda wa keki umefika lakini Birthday Party hii haikua nana mama mzazi wala baba mzazi kwa madai eti wanaumwa. "Anyway tuyaache hayo hayatuhusu"


Dyana akimlisha keki Matron wake kwa style ya pekeeya mdomo kwa mdomo mhhhhhh!!!!! haya bana ndiyo keshamlisha.

Huyu ni mama mdogo wa Dyana wa katikati akiwa na mumuwe

"HUYU NDIYE KILA KITU KWANGU NI LAZMAA NIMLISHE KEKI" Hayo yalikua maneno ya Dyana.

Hawa wote ni wanawake na ni marafiki wakubwa na Dyana.


Ghafla tena Dyana akasusia shughuli na kutaka kuondoka kwa madai eti amepewa kibuti na mtu ambaye ndye liwazo lake, nilipojaribu kumtafuta ili aninong'oneze lazizi wake ni yupi alisema "mbona unaharaka si tupo wote utamjua wala usiwe na pressure."

"Shuguli imeshaingia mdudu me nasepa" Dyana hakupenda tena kuwepo pale baadala yake akatokomea kusikojulikana.

Baada ya muda kwenda Dyana aliletwa rafiki yake ambaye muda wote alikua akifurahi kana kwamba alikua akijua nini kikiendelea mpaka Dyana kususia sherehe aliyoiandaa mwenyewe. Lakini pamoja na yote hayo yakiendelea, kumbe mdogo wetu Dyana aliku akizinguliwa na dada mmoja ambaye kwa taarifa zisizo rasmi ndiye mpenzi wake. KWELI MWISHO WA DUNIA UMEFIKA.

Ukistaajabu ya Musa, utashangaa ya akina dada hawa. hawa wote ni akina dada waalikwa kwenye Birthday Party ya Dyana wakibusiana kwa mahaba mazito.

Huyu naye amehamisha malavidavi kwa mingine. Sarafina Joseph (kushoto) ambaye alikua ni mualikwa kwenye taafrija ya kuzaliwa kwa Dyana, alifumwa na camera yetu akimkimbusu msichana mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja, ambaye kwa taarifa zisizo rasmi ndiye bwana wa Dyana lakini mpaka tunaondoka eneo la tukio Dyana hakupatikana kuzungumzia uvumi huo na akipigiwa simu hapokei, lakini tutajitahidi kuwajuza kila kitu kuhusu mahusiano yake ya jinsia moja kama ni kweli au la.