.

Friday, August 19, 2011

SALMA DACOTHA LIVEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE

                                             Mwami hapa km anasema tatu bila
                                   Jamani jamani simba walijua kunipa raha,kumbe afande hapo nyuma nae simba.
 
Nimepiga jezi yangu kwa raha zangu,afande kasahau hadi kazi yake
       ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

 
TCHAOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO

LILIAN WA BLU3 AACHIA VIDEO MPYA........!!!!!

Lillian Mbabazi
Nyota wa kundi la Blu3 Lillian Mbabazi wa Uganda ameibuka na video yake mpya aliyoipa jina la 'Kankutwale' ambapo ameweza kumpa shavu msanii Diamond Oscar kutoka kundi la Goodlyfe pamoja na washkaji zake wa karibu wa kike wa Lillian.

Diamond Oscar

JIM IYKE NA KATE HENSHAW NUTTAL WATEMWA DILI LA NOTI..........

Jim Iyke
Kate Henshaw Nuttal

Wakali wa filamu kutoka Nigeria Jim Iyke na Kate Henshaw Nuttal wametemwa katika dili la fedha za nchi hiyo la mamilioni ya naira la kuwa balozi wa Globacom ambapo mkataba wao na kampuni hiyo umefikia kikomo na wameafikiana kutoendelea nao tena.

Kunle Afolayan

Wakati huo huo nyota wa Nollywood pamoja na maprodyuza Odunlade Adekola na Kunle Afolayan wameteuliwa rasmi kuwa mabalozi wapya wa Glo na watalipwa naira milioni 10 kwa mwaka.

Odunlade Adekola

WILL SMITH KUREJEA KWENYE RAP.....!!!!!

Will Smith

Nyota wa Hollywood Will Smith anajiandaa kurejea kwenye muziki wa rap kwa kuachia album yake mpya tangu ipite miaka sita akiwa nje ya gemu hiyo ya miondoko ya rap.

Mkali huyo wa filamu ya Men In Black alianza muziki kama The Fresh Prince akiwa na rafiki yake wa utotoni Jeffrey Townes ambapo waliunda kundi la hip hop la DJ Jazzy Jeff & The Fresh Prince.

DJ Jazzy Jeff & The Fresh Prince

Kwa mujibu wa prodyuza  La Mar 'Mars' Edwards, ni kwamba hivi sasa Smith anarejea studio kurekodi ikiwa ni muendelezo wa album ya Lost and Found ya mwaka 2005.