.

Thursday, December 22, 2011

DONT PANIC,RELAX AND ENJOY THE LIFE

Jamani wadau wetu tusameheni bure tu,busy busy busy mpaka basi,salma dacotha busy na shule na mitihani ndo funga mdomo,lady hanifa naye busy na documentary yake basi balaa tu mjini..mwaka mpya tunaanza na mambo mapya jamani,mtafurahi na roho zenu kila mtakapokuwa mnapita katika blog yetu.we wishing u a merry xmass and HAPPY new year

Tuesday, October 4, 2011

MWILI WA PROF. WANGARI MAATHAI KUCHOMWA MOTO.................

Wangari Maathari enzi za uhai wake

Mwili wa aliyekuwa mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel na mwanaharakati wa mazingira kutoka Kenya Prof. Wangari Maathai utachomwa moto badala ya kuzikwa Jumamosi hii katika tanuu ya kuchomea moto maiti.

Maathai Tree

Enzi za uhai wake Prof. Maathai alisema kuwa hataki kuzikwa kwenye jeneza la mbao akidai ni uharibifu wa mazingira na kusema anataka kucomwa moto na majivu yake yawekweb kwenye taasisis yake ya masomo ya amani na mazingira.

DIAMOND AMVISHA PETE WEMA.......

Wema na Diamond

Nyota wa Bongo Flava,Naseeb Abdul aka Diamond Platinumz alifanya 'suprise' pande za Maisha Club kwenye Birthday Party yake kwa kumvalisha pete ya uchumba mpenzi wake Wema Abraham Sepetu (Miss TZ-2006).

Pete hiyoooooooo
Wema nae alimsupise boy wake huyo kwa cake matata

Monday, October 3, 2011

KAFUMU AIBUKA KIDEDEA IGUNGA..................

Aliyekuwa mgombea Ubunge katika uchagui mdogo jimbo la Igunga Dk. Dalaly Peter Kafumu ameibuka kidedea katika uchaguzi huo na kuwashinda wagombea wengine nane kutoka vyama vingine vya kisiasa....


Kafumu na wafuasi wake wakishangilia ushindi


Msimamzi wa uchaguzi Bw. Protace Magayana akitangaza matokeo leo jioni.

Monday, August 29, 2011

MTV VIDEO MUSIC AWARDS.....!!!!!

Britney Spears akipokea tuzo ya  Best Pop Video award wimbo wa 'Till The World Ends'

Nate Mendel na Dave Grohl of Foo Fighters wakipokea tuzo ya Best Rock Video wimbo'Walk'.

Nicki Minaj akipokea tuzo ya Best Hip-Hop Video wimbo 'Super Bass'.
Kim Kardashian akimpatia tuzo yake Justin Bieber ya Best Male Video wimbo 'U Smile'.
Kanye West na Katy Perry wakipokea tuzo ya Best Collaboration wimbo 'E.T

Lady Gaga aka Jo Calderone akiwa on stage na Britney Spears wakipokea tuzo ya Michael Jackson Video Vanguard.

Lady Gaga aka Jo Calderone akipokea tuzo ya Best Female Video wimbo 'Born This Way'.
Katy Perry akipokea tuzo ya Video of the Year kwa wimbo 'Firework'.

MERCY JOHNSON SASA NI MKE WA MTU..............

Mwigizaji nyota kutoka kiwanda cha filamu Nigeria Mercy Johnson amefunga ndoa na Odianosen Okojie ambao sasa wameungana na kuwa mwili mmoja....


Mrs. Okojie ndani ya Wedding dress
Bibi na Bwana wakiwa na furaha baada ya kufunga ndoa....

....BEYONCE ATHIBITISHA KUWA MJAMZITO...!!!!!

Beyonce Knowles
Mwanamuziki Beyonce Knowles ambaye ni mke wa Jay Z mwanamuziki nyota ameonyesha picha aliyopiga ikionyesha tumbo kubwa baada ya kuwepo kwa uvumi kwa miezi kadhaa kuwa mwanamuziki huyo huenda akawa mjamzito.
Nyota huyo wa RnB ametumia mikono yake kuonyesha tumbo lake hilo akiwa amevaa gauni linalomwonyesha tumbo wakati anawasili kwenye tuzo za video Marekani Jijini Los Angeles.
Kila la kheri mama....

Friday, August 26, 2011

UREMBO KIDOGOOO.....CELEB'Z AN' THEIR PERFUMES.......!!!!!!

JENNIFER LOPEZ: LOVE & LIGHT
DAVID & VICTORIA BECKHAM: SIGNATURE STORY
BEYONCÉ: HEAT RUSH
ELIZABETH TAYLOR: VIOLET EYES
RIHANNA: REB'L FLEUR
KATE WALSH: BOYFRIEND
KHLOE KARDASHIAN & LAMAR ODOM: UNBREAKABLE
KIM KARDASHIAN: GOLD
PARIS HILTON: TEASE
SARAH JESSICA PARKER: SJP NYC

KAREN KUFANYA MUZIKI..................

Karen Igho

Mshindi wa Big Brother Amplified mwaka huu Karen Igho anadaiwa kuwa na mpango wa kufanya muziki na amepania kufanya vyema katika tasnia hiyo.

Wakati kukiwa na tetesi kuwa atakwenda kufanya maigizo baada ya kuwahi kushiriki shindano la Next Movie Star na BBA amefanya tofauti na kuipa kisogo tasnia hiyo ya filamu na kuamua kufanya muziki.

Thursday, August 25, 2011

KATY PERRY NA LADY GAGA WAZUIWA CHINA

Katy Perry

Lady Gaga na Katy Perry ni moja kati ya wasanii waliowekwa katyika orodha mpya ya wasanii waliofungiwa nchini China ambapo nyimbo zao kama  "Last Friday Night"  ya Katy Perry na "The Edge of Glory," "Judas" na "Hair"  za Lady Gaga ni nyimbo ambazo wizara ya utamaduni nchini humo imezifungia kusikika au kuangaliwa katika jamii za vijana.

Lady Gaga

Wednesday, August 24, 2011

MASHTAKA YA UBAKAJI YA ALIYEKUWA MKUU WA IMF YAFUTWA..........

Dominique Strauss-Kahn

Jaji wa Mahakama mjini New York amefuta kesi ya tuhuma za ngono kwa aliyekuwa mkurugenzi wa Shirika la Fedha Duniani, Dominique Strauss-Kahn.

Hatua hiyo imekuja wakati waendesha mashtaka walitilia shaka uaminifu wa mwanamke anayemshtaki, ambaye ni mhudumu wa hoteli moja, Nafissatou Diallo , mwenye umri wa miaka 32.
Nafissatou Diallo

Bw Strauss-Kahn mwenye umri wa miaka 62, alituhumiwa kumshambulia mwanamke huyo, mhamiaji kutoka Afrika, mwezi wa Mei wakati alipokuwa akiingia chumbani kwake kukisafisha.

Hukumu hiyo inamaanisha kuwa sasa Bw Strauss-Kahn yuko huru, japo bado anakabiliwa na kesi nyingine dhidi ya Bi Diallo.

Dominique Strauss-Kahn na mkewe

LOOK OF THE DAY.........!!!!!!!!!

Linah Sanga msanii wa bongo flavor kutoka THT

COUPLES MATATA........!!!!!!

Angelina Jolie na Brad Pitt
Will Smith na Jada Pinkett Smith
David Bekham na Victoria
Beyonce na Jay Z
Kim kardashian na Kris humphries
Mariah Carey na Nick Cannon
Baadhi ya couples kutoka majuu ambazo mimi nimefanikiwa kuzijua je wewe unajua zipi hata hapa nchini itakuwa vizuri zaidi ukituainishia hata kwa majina tu......

VOTE FOR MT.KILIMANJARO..................!!!!!!!!!

Mount Kilimanjaro
Mount Kilimanjaro which is the highest peak in Africa and the highest free standing mountain in the world has been nominated as a candidate for the seven natural wonders of the world, in a competition organised by an organisation known as Seven Natural Wonders in which tourist attractions from all over the world are voted to nominated as The Seven Natural wonders of The World.

Tanzania will gain much publicity from being listed in the new list of Seven Natural wonders of the World and will be able to use this opportunity to promote Mt. Kilimanjaro as being in Tanzania.

Out of the 28 contestants which have made it to this stage, only two nominations are from Africa, these being Mt. Kilimanjaro (Tanzania) and Table Mountain (South Africa). There is fierce competition between the two African destinations.

Voting trends have shown that most people who are voting for Mount Kilimanjaro are those residing outside the country and that very few Tanzanian residents are voting for Mt. Kilimanjaro unlike the case for Table Mountain where large numbers of South Africans are taking participation in voting for Table Mountain.

We (TTB) would like to urge Tanzanians (in and out of Tanzania), friends and patrons worldwide to vote for Mount Kilimanjaro so that it becomes one of the New Seven Natural Wonders Of The World.

Votes are being collected at the following website: www.new7wonders.com

Note that the competition is open until November 11th, 2011.

For more information contact:

The Managing Director,

Tanzania Tourist Board,

Dar-es-salaam

Tel: 255-22-2111244/5

Email: md@tanzaniatouristboard.go.tz

BUNGE KUUNDA TUME KUCHUNGUZA SAKATA LA JAIRO..........


Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeamua kuunda Kamati maalum itakayochunguza sakata la Katibu Mkuu Kiongozi Philomeni Luhanjo kutangaza matokeo ya uchunguzi tuhuma za Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na madini David Jairo na kumrejesha kazini kabla ya matokeo ya uchunguzi wa tuhuma kujadiliwa Bungeni.

Bw. Jairo alirejea leo ofisini kufuatia amri ya katibu mkuu kiongozi Philemon Luhanjo kwa madai ya kuwa hana hatia katika sakata hilo,chini ni baadhi ya matukio wakati anarejea na kupokelewa kwa shangwe na wafanyakazi w wizara huyo kabla bunge halijabatilisha hatua hiyo.....





Bw David Jairo