.

Monday, June 13, 2011

DOGO NAYE APATA AMPENDAYE.

JUSTIN BIEBER NA MPENZI WAKE

 







    



"Baby me naona hapa hapafai ni bora tuhame au wewe unasemaje?"
 
 
"Huku safi sana maana tuko peke yetu"
 
"Sasa tunaweza enda fanya mambo yetu ndani" Huyo ni Justine Drew Bieber(17) akiwa na mpenzi wake ajulikanae kwa jina la Selena Marie Gomez (18)

"KWEWLI JELA NJAA"

Jamaa akimlamba mkewe, sasa sijui ni njaa au ndyo malavidavi?