.

Thursday, June 9, 2011

"BAJETI IMEWAKUMBUKA WATU HAWA?"

Wapo vijana ambao maisha yao hutegemea zaidi foleni ya jijin Dar-es-salaam kama anavyoonekana kijana huyu kwenye picha kijana huyu alipokua akiuza samaki maeneo ya Mikocheni, ambapo anasema kwa eneo la Mikocheni wangejengewa eneo la kuuzia samaki wao.





No comments:

Post a Comment