.

Saturday, February 5, 2011

EPUKA UCHAFU KATIKA MAPENZI

           Katika mapenzi epuka uchafu  kwani  unaweza kumkera mpenzi wako kwa kuwa mchafu , Jitaidi kila wakati kuwa msafi ili uwe kivutio kwa mpemzi wako na  hili liwe kwa pande zote mbili isiwe kwa mwanamke peke yake. Kumekuwa na hisia flani kuwa mwanamke ndie anatakiwa kuwa msafi muda wote hii ni dhana potofu kwani ata mwanaume anatakiwa kuwa msafi  kwa mpenzi wake .Tuangalie sehemu muhimu  katika mapenzi inakera kumuona mpenzi wako ananuka Mdomo, Jasho  na sehemu nyingine   ambazo zinakera sana pia kuwa mchafu wa mavazi  haipendezi.Jitahidi  kujiweka sawa katika usafi ili kumvutia mwenzio kwani atatamakukumbatia muda wote na kuwakaribu na wewe.Kwaleo tuishie hapa tukutane tena katika ukurasa wa mapenzi kuwekana sawa