.

Tuesday, March 8, 2011

MAPACHA WATATU WAOMBA KURA ZENU

Hawa ndio mapacha watatu Jose Mara, Khalidi Chokoraa, Kalala Juniour

 Wakiwa mzigoni

Moja kati ya  vipande vya picha ya video ya wimbo wa shika ushikapo ,ambao uko katika category ya best swahili song of the year katika tuzo za kill music  2011....Ili kufanikisha vijana hawa kunyakua tuzo hiyo wapigie kura kwa kutuma sms yenye maneno G173 kwenda 15747.......
Kumpigia kura khalid Chokoraa kupata tuzo ya rapa bora wa bendi tuma sms andika M 110 kwenda 15747...
TUWAPE SUPPORT YA KUTOSHA JAMANIIIIIIIIIIII