.

Monday, June 6, 2011

"AISEE BABAANGU....CHESMA NA MKE WANGU USICHESE NA KASIAANGU"

Mr. Asenga ni shoe shiner maarufu jijini Dar-es-salaam anayefanyakazi ndani ya Bar ya Mango Garden Kinondoni, na yuko kwa mda mrefu sasa na yeye kama yeye ajidai kwa kukaa mda mrefu eneo hilo la biashara yake hiyo na kuendesha maisha yake ya kila siku. katika ofisi yake ana kandambili zisizopungua 20 kwaajili ya wateja wake wanapofika eneo hilo la biashara.




"Biashara ni hasubuhi atii jioni kwa mama Manka kujipongeza." Mr. Asenga akihesabu mkwanja baada ya kumaliza kazi ya mteja wake. Licha ya kua na kandambili zaidi ya 20, Asenga anasema kuna wakati wateja wake wengine hukosa ndala maana zote zinakua tayari zina watu tayari hata hivyo amesema otabidi atafute kijana wa kumsaiadia kazi ili na yeye awe BOSS.

No comments:

Post a Comment