.

Wednesday, August 24, 2011

MASHTAKA YA UBAKAJI YA ALIYEKUWA MKUU WA IMF YAFUTWA..........

Dominique Strauss-Kahn

Jaji wa Mahakama mjini New York amefuta kesi ya tuhuma za ngono kwa aliyekuwa mkurugenzi wa Shirika la Fedha Duniani, Dominique Strauss-Kahn.

Hatua hiyo imekuja wakati waendesha mashtaka walitilia shaka uaminifu wa mwanamke anayemshtaki, ambaye ni mhudumu wa hoteli moja, Nafissatou Diallo , mwenye umri wa miaka 32.
Nafissatou Diallo

Bw Strauss-Kahn mwenye umri wa miaka 62, alituhumiwa kumshambulia mwanamke huyo, mhamiaji kutoka Afrika, mwezi wa Mei wakati alipokuwa akiingia chumbani kwake kukisafisha.

Hukumu hiyo inamaanisha kuwa sasa Bw Strauss-Kahn yuko huru, japo bado anakabiliwa na kesi nyingine dhidi ya Bi Diallo.

Dominique Strauss-Kahn na mkewe

LOOK OF THE DAY.........!!!!!!!!!

Linah Sanga msanii wa bongo flavor kutoka THT

COUPLES MATATA........!!!!!!

Angelina Jolie na Brad Pitt
Will Smith na Jada Pinkett Smith
David Bekham na Victoria
Beyonce na Jay Z
Kim kardashian na Kris humphries
Mariah Carey na Nick Cannon
Baadhi ya couples kutoka majuu ambazo mimi nimefanikiwa kuzijua je wewe unajua zipi hata hapa nchini itakuwa vizuri zaidi ukituainishia hata kwa majina tu......

VOTE FOR MT.KILIMANJARO..................!!!!!!!!!

Mount Kilimanjaro
Mount Kilimanjaro which is the highest peak in Africa and the highest free standing mountain in the world has been nominated as a candidate for the seven natural wonders of the world, in a competition organised by an organisation known as Seven Natural Wonders in which tourist attractions from all over the world are voted to nominated as The Seven Natural wonders of The World.

Tanzania will gain much publicity from being listed in the new list of Seven Natural wonders of the World and will be able to use this opportunity to promote Mt. Kilimanjaro as being in Tanzania.

Out of the 28 contestants which have made it to this stage, only two nominations are from Africa, these being Mt. Kilimanjaro (Tanzania) and Table Mountain (South Africa). There is fierce competition between the two African destinations.

Voting trends have shown that most people who are voting for Mount Kilimanjaro are those residing outside the country and that very few Tanzanian residents are voting for Mt. Kilimanjaro unlike the case for Table Mountain where large numbers of South Africans are taking participation in voting for Table Mountain.

We (TTB) would like to urge Tanzanians (in and out of Tanzania), friends and patrons worldwide to vote for Mount Kilimanjaro so that it becomes one of the New Seven Natural Wonders Of The World.

Votes are being collected at the following website: www.new7wonders.com

Note that the competition is open until November 11th, 2011.

For more information contact:

The Managing Director,

Tanzania Tourist Board,

Dar-es-salaam

Tel: 255-22-2111244/5

Email: md@tanzaniatouristboard.go.tz

BUNGE KUUNDA TUME KUCHUNGUZA SAKATA LA JAIRO..........


Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeamua kuunda Kamati maalum itakayochunguza sakata la Katibu Mkuu Kiongozi Philomeni Luhanjo kutangaza matokeo ya uchunguzi tuhuma za Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na madini David Jairo na kumrejesha kazini kabla ya matokeo ya uchunguzi wa tuhuma kujadiliwa Bungeni.

Bw. Jairo alirejea leo ofisini kufuatia amri ya katibu mkuu kiongozi Philemon Luhanjo kwa madai ya kuwa hana hatia katika sakata hilo,chini ni baadhi ya matukio wakati anarejea na kupokelewa kwa shangwe na wafanyakazi w wizara huyo kabla bunge halijabatilisha hatua hiyo.....





Bw David Jairo