.

Thursday, January 6, 2011

BREAKING NEWS...: VIONGOZI WA CHADEMA WATINGA MAHAKAMANI JIJINI ARUSHA LEO

Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe, Katibu mkuu wa chama hicho Mh. Wilbroad Slaa na wabunge wa Moshi Mjini na Arusha mjini Mh. Philemon Ndesamburo na Goodluck Mrema wamefikishwa mahakama ya mkoa wa Arusha na kusomewa mashtaka kadhaa, ikiwa ni pamoja na kukaidi amri halali ya kutofanya maandamano.
Mchakato wa kuwawekea dhamana umefanikiwa 
Mke wa Dk. Slaa, Josephine, akibubujikwa damu baada ya kujeruhiwa na askari polisi katika maandamano