.

Monday, January 31, 2011

MAPENZI KUAMINIANA

     Raha ya mapenzi ni kuaminiana .Kama unampenda mpenzi wako ni vyema ukamuamini ili kuwe na mani kati yenu.haipendezi kila anakokwenda mpenzi wako unakuwa na wasiwasi nae hii inamnyima sana amani mpenzi wako na wakati mwingine hukasirika .Jenga tabia ya kuaminiana kwa kumuamini mwenzio kutaleta raha katika penzi lenu pia likadumu kwa muda mrefu kwakuwa mnaaminiana ,Popote atakapokwenda mwenzio utakuwa huna wasiwasi kwa sababu una imani na  penzi lako kwake  . Imani katika penzi ni msingi mzuri wa kuleta amani katika maisha ya mpenzi na wakati wingine hata unapokuwa mbali na mwenzio anakuwa anakukumbuka kwakuwa mnapokuwa pamoja mnakuwa na mazungumzo mazuru vicheko na kila mmja anazidi kuwa na furaha na ndipo hapo mnaamua kuingia katika maamuzi mazuri ya kuwa mwili mmoja .Fanya hivyo itakusaidia sana  jenga imani na mpenzi wako.
 kwa leo tuishie hapa..