.

Wednesday, March 9, 2011

WANAWAKE TUACHE TABIA ZA KUWAKOMOA WANAUME


     Kunabaadhi ya wanawake wamekuwa na tabia za ajabu  endapo mwanaume atamtamkia kuwa anamuitaji kimapenzi. Ukweli ni tabia mbaya sana kwani unamkomoa hujuwi analengo gani kwako  inawezekana akawa mumeo badae  na wewe ulishamkomoa siku za nyuma. Labda utajiuliza kumkomoa mwanaume kwa njia gani ?   Unamkuta mwanamke anaitwa  sehemu na mpenzi wake ambae wanaanza mapenzi basi anawapitia shoga zake na kwenda sehemu alioitwa akifika watakula na kunya bila kujuwa yule kiumbe wawatu kama anapesa au hana , ukweli si vizuri kufanya hivyo kwani uko ni kumkomoa  wanaume na kuomba pesa mara kwa mara  .Achani kuwakomoa wanaume na kama humtaki basi acha kumbomoa  tabia mbaya wanawake wenzetu  tubadilike.  Kwaleo tuishie hapa

MAMBOYOTE LOLIONDO

 JAMANI KAMA MGONJWA WAKO YUKO HOSPITAL USIMKATISHE MATIBABU
Loliondo hapatoshi kama utakuwa mfatiliaji mzuri wa vyombo vya habari hili si jambo  geni kwako .Loliondo kwa Mchungaji  mstaafu Ambilike Ambwakise  kwa kupata  dawa ya mitishamba na kupona  pia dawa hiyo huambatana na maombi  kwa imani yako utapona . watu wengi wamejitokeza na kukimbilia kwa baba  ukweli foleni haifai na tiba inatolewa kwa kiasi kidogo cha pesa shilingi 500 tu.

Jamani wagonjwa tuko wengi  wote hawa wanasubiri huduma

hapa dawa inaandaliwa
 
Hapa dawa ipo tayari kwa  kunywa