.

Friday, January 28, 2011

UNAWAFAHAMU WATU HAWA??????


Shafi Adam Shafi na Amir  Andanenga,katika kipindi cha kumepambazuka kiswahili Radio One.

                  Shafi Adam Shafi, Maulid Kambaya  na Amir  Andanenga,
 Ni watu wenye mchango mkubwa sana katika nchi yetu  ya Tanzania. hasa katika ukuzaji wa lugha adhimu sana ya kiswahili Pamoja na utambulishaji utamaduni wa mswahili ndani na nje ya mipaka yake.
Shafi Adam Shafi ndiye Mtunzi wa Riwaya ya Siti Binti Saad,Kuli,Vuta Nikuvute,Uhaini na vingine vingi.
 Amir Andanenga yeye ni mtunzi wa ushairi Bahari ya elimu ya Ushairi,Diwani ya Ustadh Andanenga,na sasa yuko katika mkakati wa kutengeneza muswaada wa ushairi tangu 1961
Mtangazaji wa Radio One stereo Maulid Kambaya alipokuwa katika kipindi cha kumepambazuka  kiswahili akiwa na wataalamu wa lugha hii Shafi Adam Shafi na Andanenga

AMINI USIAMINI HII NI ZAHATI .

                               Hii ni Zahanati iliyoko Mkoani Morogoro kijiji cha kisaki Bwakila
                                        Hawa ni baadhi ya wagonjwa katika zahanati hiyo