.

Monday, October 3, 2011

KAFUMU AIBUKA KIDEDEA IGUNGA..................

Aliyekuwa mgombea Ubunge katika uchagui mdogo jimbo la Igunga Dk. Dalaly Peter Kafumu ameibuka kidedea katika uchaguzi huo na kuwashinda wagombea wengine nane kutoka vyama vingine vya kisiasa....


Kafumu na wafuasi wake wakishangilia ushindi


Msimamzi wa uchaguzi Bw. Protace Magayana akitangaza matokeo leo jioni.