.

Thursday, June 2, 2011

KAZI NDIYO KWANZA IMEANZA.


Shughuli ilianza pale Vimwana Manywele na Twanga Pepeta, wakijitambulisha kwa mashabiki na majaji kwa kuingia stejini na vazi la asili.

Wakionesha umahiri wao katika kunengua na vazi la asili.

Hakuna cha bure duniani ni lazima jasho likutoke mtoto wa kike.

"Hapo sasa hapo sasa" zungusha nyonga mwananguu.

Mratibu wa Kimwana Manywele na Twanga Pepeta, Maimatha wa Jesse baaada ya kupagawa na kuwasogelea Vimwana na kuwatunza.

"Kweli kazi ni ngumu" baada ya kumaliza ngwe ya kwanza wakatoka kwaajili ya kuingia ngwe nyingine.

Safari ya mmoja mmoja kuonesha umahiri wake ikaanza ili kusaka nafasi ya kwenda fainali.











Chief Judge, Methew Kiongozi aliye kulia akifuatilia kwa umakini mkubwa mpambano ukiendelea katika Club Suncirro.

Twanga Pepeta nao walito ushirikiano wa kutosha katika kutoa show ya nguvu.

Ukawadia ule mda wa kuvuna ulichopanda kipindi chote wakiwa kambini. Chief Judge akisoma waliofanikiwa kuingia hatua ya fainali.

"Kiukweli siamini kama nimepita!!!"



Hawa ndiyo kumi bora wakipongezana baada ya kutangazwa kuwa ndiyo wataingia kwenye fainali itakayofanyika tarehe  17/6/2011, pale Ubungo Plaza.

Wakiwa kwenye picha ya pamoja, wakiwa na na wadau mbali mbali.

Hawa ndiyo kumi bora waliamua kutoa show ya shukrani kwa kufanikiwa kupita kuelekea fainali.


Mkurugenzi wa ASET, Asha Baraka kushoto akitoa shukrani zake za dhati kwa wadau wote waliofanikisha shughuli hiyo kufana, akifutiwa na Husna Iddy kimwana wa 2007 (SAJENT) Kassim Muhamed (SUPER K) pamoja na Maimatha wa Jesse.

Sajent akitoa shukrani kwa walihudhuria.


Maimatha wa Jesse akiwashukuru wadhamini wake waliofanikisha shughuli hiyo kufana sana, pia amewaomba wale wote waliofika pale Club Suncirro na walioshindwa kufika wasikatee tamaa kwani fainali ni pale Ubungo Plaza tarehe 17/6/2011 mje mjionee Kimwana Manywele mpya wa mwaka 2011.

TULIKUA TUKISUBIRI MAN IN BLACK III.


Hapa Will Smith akiwa na mwanaye enzi za uhai wake yaani kama ameenda atarudi. Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali panapo stahili kulingana na matendo yake na imani yake.

"ETI MUIGIZAJI WILL SMITH HATUNAYE TENA?"


Kuna habari za kutatanisha kwamba muigizaji na DJ maarufu aliyejizolea umaarufu mkubwa katika kipindi cha Fresh Prince of Bel air Will smith amefariki dunia.
Muigizaji huyo imeelezwa kuwa amefariki leo asubuhi nchini new Zealand ambako alikuwa katika kazi za kushuti sinema.
Kwa mujibu wa mtandao wa Global Associated News muigizaji huyo alifariki majira ya saa 10 na nusu alfajiri.
kwa kizungu:
Actor Will Smith died while filming a movie in New Zealand early this morning - May 31, 2011.
Preliminary reports from New Zealand Police officials indicate that the actor fell more than 60 feet to his death on the Kauri Cliffs while on-set. Specific details are not yet available.
The accident occurred at approximately 4:30 a.m. (UTC/GMT +12).
Additional details and information will be forthcoming.


New Zealand, in recent years has grown in populariaty as a backdrop for Hollywood producers because of it's scenic and rugged landscape. Recent movies filmed in New Zealand include The Lord Of the Rings, King Kong, and The Chronicles Of Narnia.
Pamoja na taarifa hiyo chombo hicho hicho Machi mwaka huu kilisema kwamba mtoto wa Smith amefariki dunia huko Uswis. na ilikanushwa baadaye.Hebu soma:

The same website that wrongly reported the deaths of Jim Carrey and Adam Sandler is now targeting a child actor - Karate Kid's Jaden Smith.
“Actor Jaden Smith is reported to have died shortly after a snowboard accident earlier today in Zermatt, Switzerland," Global Associated News claims. The location of Jaden's alleged death is the same exact place as Carrey and Sandler's: Zermatt, Switzerland.

"WACHA TUONESHE UPENDO WABAYA WAULIZANE"

"Mpenzi Mungu kakupendelea maana daah!!"

"Mpenzi nko hapa lakini moyo unanidunda ile mbaya,  huna mpenzi kweli hapa?"

"Mapaparazi nao wasikuone unakula bata na mtu wako"

Tuone kama na huku mtakuja maana hampitwi na kitu nyie.


"Jamani nasikia raha sana mwenzenu"

"Kweli nme enjoy sasa tuondoke mpenzi wangu"

"Itabidi tukitoka hapa ni moja kwa moja mpaka Lodge au sio mpenzi wangu?"

"Nyie Paparazi vipi? Nimechukua chenu? mbona mnanifuatila hivyo?"

"Shosti hapa si pa kukaa kabisa hembu waone wanavyotufatilia"

"Mbona Shemeji simuoni? au ndiyo alienda kuwaita hawa Paparazi?"

JAMANI HIVI VIDOLE VYA MKONO AU VYA MGUU?


Hembu tazama vidole vya jamaa huyu halafu useme  kama akipata kazi ya kupiga kinanda ataweza kweli? Maana vidole vyake vina ukubwa usio wakawaida hii simu unayoona anaongea nayo alibonyezewa na mtu mwingine yeye akapokea tu. Kidole chake kimoja kina ukubwa wa vidole viwili vya ukubwa wa kawaida, hivi hata Internet Cafe anaingia kweli!! Vidole vyake akibofya keybord, vinabofya vitufe viwili kwasababu ya ukubwa wa vidole vyake.

HAWA NDIYO WANAMUZIKI MATAJIRI DUNIANI.


SEAN DIDDY COMBS - P-DIDDY (DOLA MILIONI 475)

 
SHAWN COREY CARTER - JAY Z (DOLA MILIONI 450)

 
ANDRE ROMELLE YOUNG - DR DRE (DOLA MILIONI 125)

 
CURTIS JAMES JACKSON III - 50 CENT (DOLA MILIONI 100)
BRYAN WILLIAMS - BIRDMAN/BABY (DOLA MILIONI 100)

HUYU NDIYO DOGO ANAYELIPWA MKWANJA MREFU HOLLYWOOD.


Jaden Smith wa kwanza kushoto akiwa na dada yake Wllow Smith mama yao Jadah Pinket Smith pamoja na Will Smith. Jaden ndiye mtoto anayelipwa mkwanja mrefu Hollywood katika fani ya uigizaji ambapo analipwa kiasi kisichopungua dola milioni mbili katika sinema ya The Karate Kid aliyocheza kama mhusika mkuu. Hata hivyo filamu hii ni ya tatu kucheza ambapo ya kwanza iklikua ni ile ya The Pursuit of  Happyness alishiriki sehemu ndogo akiwa na baba yake Will Smith. Mbali na uigizaji pia ni mwanamuziki ambapo ameimba wimbo ujulikanao kama Never Say Never aliouimba na Justin Bieber. 

JADEN SMITH