.

Monday, June 6, 2011

MTANASHATI WA DUNIA AJIFUNZA U-BAA MEDI.

Kijana Kamal Ibrahim, ambaye ni mshindi wa Mr World 2011, katika tafrija iliyofanyika Chikago nchini marekani, kwenye tafrija hiyo jamaa alionekana akiwahudumia wageni waalikwa kana kwamba na yeye si mgeni mualikwa, lakini baadaye jamaa alisema anafanya hivyo kama kujifunza kutoa huduma za hotel ili aweze kuisaidia jamii yake ipasavyo. Katika tafrija hiyo pia alikuwepo mlimbende wa dunia Alexandria Mills 2010, na mlimbwende wa Afrika Emma Wareus ambapo kwa pamoja walijifunza mambo mbalimbali yahusuyo watoto na jamii kwa ujumla. Wabongo hapo vipi? Mkipata jina kidogo tu hamtaki kusalimia watu na magari yenu mnaweka tinted eti mnakwepa usumbufu kwa watoto nyooooooooooooo!!!!!!!

No comments:

Post a Comment