.

Wednesday, June 8, 2011

"NCHI SI MASKINI WEWE NDIYO MASKINI"

Hili ni burungutu la hela tena haziko Bank ni za mtu binafsi tena ziko tu stoe kwake sasa ukisema nchi ni maskini wakati wenzio wanachezea hela watakushangaa sana. "NCHI SI MASKINI WEWE NA MIMI NDIYO MASKINI"

No comments:

Post a Comment