.

Tuesday, June 7, 2011

"HATA KUCHIMBA SHIMO LA TAKA NI JUKUMU LA SEREKALI"?


Wananchi waliowengi kutupa takataka maeneo yasiyo rasmi na mwisho wa siku mvua inaponyesha huanza kulalamika eti serekali na utendaji wake hawashughulikii suala la usafi. Sasa serekali ifanye mambo mangapi, hata kuchimba shimo la taka ni jukumu la serekali?

No comments:

Post a Comment