.

Wednesday, August 17, 2011

ELIZABETH AJIFUNGUA BABY MALAIKA...........!!!!!!!

Baby Malaika

Wanandoa Elizabeth Gupta na Kelvin ambao walikuwa washiriki wa shindano la Big brother mwaka 2009 wamebahatika kupata mtoto wa kike waliyempa jina la Malaika....Blog hii inawatakia kila la kheri katika malezi ya mtoto wao huyo......


Wazazi wapya Kelvin na Elizabeth

LIL WAYNE NA DRAKE KUPIGA COLLABO......

Lil Wayne

Rapa Lil Wayne na Drake wanafuata nyayo za Jay-Z na Kanye West kwa wao nao pia kuungana pamoja ambapo mkali huyo wa kibao cha Lollipop amekuwa na mchango mkubwa katika mafanikio ya Drake kama msanii solo na sasa anashinikiza kuwepo kwa mipango ya kufanya kazi pamoja.

Drake

Bosi wa lebo anayoifanyia kazi Wayne ya Cash Money Records Bryan Birdman Williams amenukuliwa akisema yeye na Wayne wamekuwa wakizungumzia juu ya project ya pamoja baina ya Wayne na Drake.