.

Thursday, April 14, 2011

MWAMVITA MAKAMBA NAYE ALITOA USHIRIKIANO WAKUTOSHA SANA

Mwamvita Makamba akifuatilia kwa makini hotuba iliyoandaliwa kwaajili ya uzinduzi wa nembo mpya ya Vodacom.

NAWE UPOO?

Kaka nlijua tu huwezi kukosa sehem hii muhimu hasa kwako wewe. Ladyhanifa na Steve Kafaya.

HIKI NDIYO KIPENGELE MUHIMU

''Shosti asikuammbie m2, rukaruka, kimbia, cheza fanya kila ki2 ila hapa hatoki m2'' Kwenye misosi hakuna aliyebaki nyuma walionuna, walicheka, walionuniana walizungumza. Chakula kiliandaliwa cha kutosha, vinywaji ndiyo usiseme yaani ni kula kunywa mpaka kusaza, kweli VODACOM wanaongoza.wa kwanza Salma Dacotha ,lady hanifa na regina mwalekwa.

BATA LILIENDELEA KAMA IFUATAVYO

Wadau mbalimbali wa Vodacom welikuwepo kuonesha ushirikiano na wateja wao. Ladyhanifa kati,  Rukia Mtingwa kulia pamoja na Regina Mwalekwa

UZINDUZI WA NEMBO MPYA YA VODACOM

Uzinduzi ulianza kwa shamrashamra za hapa na pale. Yaan ni burudani za kufa m2.