.

Thursday, June 2, 2011

"WACHA TUONESHE UPENDO WABAYA WAULIZANE"

"Mpenzi Mungu kakupendelea maana daah!!"

"Mpenzi nko hapa lakini moyo unanidunda ile mbaya,  huna mpenzi kweli hapa?"

"Mapaparazi nao wasikuone unakula bata na mtu wako"

Tuone kama na huku mtakuja maana hampitwi na kitu nyie.


"Jamani nasikia raha sana mwenzenu"

"Kweli nme enjoy sasa tuondoke mpenzi wangu"

"Itabidi tukitoka hapa ni moja kwa moja mpaka Lodge au sio mpenzi wangu?"

"Nyie Paparazi vipi? Nimechukua chenu? mbona mnanifuatila hivyo?"

"Shosti hapa si pa kukaa kabisa hembu waone wanavyotufatilia"

"Mbona Shemeji simuoni? au ndiyo alienda kuwaita hawa Paparazi?"

No comments:

Post a Comment