![]() |
| "Mpenzi Mungu kakupendelea maana daah!!" |
![]() |
| "Mpenzi nko hapa lakini moyo unanidunda ile mbaya, huna mpenzi kweli hapa?" |
![]() |
| "Mapaparazi nao wasikuone unakula bata na mtu wako" |
![]() |
| Tuone kama na huku mtakuja maana hampitwi na kitu nyie. |
![]() |
| "Jamani nasikia raha sana mwenzenu" |
![]() |
| "Kweli nme enjoy sasa tuondoke mpenzi wangu" |
![]() |
| "Itabidi tukitoka hapa ni moja kwa moja mpaka Lodge au sio mpenzi wangu?" |
![]() |
| "Nyie Paparazi vipi? Nimechukua chenu? mbona mnanifuatila hivyo?" |
![]() |
| "Shosti hapa si pa kukaa kabisa hembu waone wanavyotufatilia" |
![]() |
| "Mbona Shemeji simuoni? au ndiyo alienda kuwaita hawa Paparazi?" |











No comments:
Post a Comment