.

Thursday, June 2, 2011

"ETI MUIGIZAJI WILL SMITH HATUNAYE TENA?"


Kuna habari za kutatanisha kwamba muigizaji na DJ maarufu aliyejizolea umaarufu mkubwa katika kipindi cha Fresh Prince of Bel air Will smith amefariki dunia.
Muigizaji huyo imeelezwa kuwa amefariki leo asubuhi nchini new Zealand ambako alikuwa katika kazi za kushuti sinema.
Kwa mujibu wa mtandao wa Global Associated News muigizaji huyo alifariki majira ya saa 10 na nusu alfajiri.
kwa kizungu:
Actor Will Smith died while filming a movie in New Zealand early this morning - May 31, 2011.
Preliminary reports from New Zealand Police officials indicate that the actor fell more than 60 feet to his death on the Kauri Cliffs while on-set. Specific details are not yet available.
The accident occurred at approximately 4:30 a.m. (UTC/GMT +12).
Additional details and information will be forthcoming.


New Zealand, in recent years has grown in populariaty as a backdrop for Hollywood producers because of it's scenic and rugged landscape. Recent movies filmed in New Zealand include The Lord Of the Rings, King Kong, and The Chronicles Of Narnia.
Pamoja na taarifa hiyo chombo hicho hicho Machi mwaka huu kilisema kwamba mtoto wa Smith amefariki dunia huko Uswis. na ilikanushwa baadaye.Hebu soma:

The same website that wrongly reported the deaths of Jim Carrey and Adam Sandler is now targeting a child actor - Karate Kid's Jaden Smith.
“Actor Jaden Smith is reported to have died shortly after a snowboard accident earlier today in Zermatt, Switzerland," Global Associated News claims. The location of Jaden's alleged death is the same exact place as Carrey and Sandler's: Zermatt, Switzerland.

No comments:

Post a Comment