.

Tuesday, July 19, 2011

JENNIFER LOPEZ NA MARC ANTHONY WAJARIBU KUNUSURU NDOA YAO



Baada ya kutangaza kutengana wanandoa Jennifer Lopez na Marc Anthony wamekenda kufanyiwa ushauri nasaha wakihaha kujaribu kunusuru ndoa yao.

Wanandoa hao ambao walitangaza kutengana siku ya Ijuma lakini watu wao wa karibu wamesema kuwa wamekuwa na msuaguano wa muda mrefu.



Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana zinasema kuwa Jennifer amejitahidi kwa uwezo wake kuifanya ndoa hiyo idumu kwa kwenda katika vituo mbalimbali vya ushauri nasaha na alikuwa mvumilivu na mwenye mapenzi na kufanya chochote alichioambiwana mumewe lakini sasa amechoshwa.

No comments:

Post a Comment