.

Tuesday, July 19, 2011

HONGERA DIDA WA ''G''...........!!!!!!!!!!!!


Mtangazaji maarufu wa kipindi cha ‘Mitikisiko ya Pwani’ cha kituo cha radio cha Times FM Khadija Shaib ‘Dida wa G’ amefunga ndoa tena na mwanamume wake kipenzi aitwaye Gervas Mbwiga ambapo sherehe hizo zilifanyika  ukumbi wa New Msasani Club jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na watu kibao kutoka pande mbalimbali za jiji.






Picha kwa hisani ya Globalpublishers

No comments:

Post a Comment