.

Tuesday, May 10, 2011

"JAMANI CONDOM ZIKO WAPI?


Huku Serikali ya Kenya ikiimarisha kampeni dhidi ya UKIMWI, mbinu moja imekuwa kuhamasisha jamii kuhusu kinga kwa kutumia mipira ya kufanyia mapenzi, CONDOM. Kinga hii imefanikiwa katika maeneo ya mijini.
Hata hivyo hali ni tofauti vijijini. Miongoni mwa jamii ya wafugaji, Condom imekuwa ni bidhaa nadra sana kupatikana, hali inayowafanya kutumia njia mbadala, baadhi zikiwa hatari kama alivyogundua Ng'endo Angela alipozuru eneo la Isiolo Mashariki mwa Kenya.

No comments:

Post a Comment