.

Monday, August 22, 2011

LADY HANIFA'S BIRTHDAY PARTY.........!!!!!!!!

Jumamosi ya tarehe 20 August ilikuwa siku ya kuzaliwa ya bibie Hanifa Hamidu aka Lady Hanifa ambaye ni mtankgazaji mahiri wa kituo cha ITV na radio One katika kipindi cha yaliyomo yamo kinachoruka kila siku ya Jumatatu hadi Alhamisi saa tatu kamili asubuhi hadi sita mchana.....

Maandalizi yalianza kwa futari kwa rafiki yake kipenzi Salma Dacotha na baadae party kiaina.....


Maakuli yalikuwa kama hivyo ftari mwezi mtukufu
Hanifa akijisevia
Salma akipata ftari
Keki ilikuwa ya Chelsea cz Hanifa ni mpenzi wa timu hiyo na siku hiyo ilikuwa inacheza

Hanifa na rafiki yake ambaye wamezaliwa siku moja wote ni birthday girls
Hanifa akimlisha keki shostito wake Salma Dacotha

No comments:

Post a Comment