.

Monday, August 22, 2011

AY NA FA,SHUSHO NA MSONDO WANYAKUA TUZO ZA EEMA'S


Mabeste,AY na B12 wakiwakilisha kupokea tuzo hizo

Siku ya Jumamosi zimefanyika Tuzo za East Africa Music Award (EMAS) kule Nairobi Kenya na kutoka Tanzania walioshinda ni Msondo Ngoma katika Best Group of Rumba.

Best Group of Rumba Msondo Ngoma
Best Collabo Urban Contemporary ni AY & Mwana FA ambapo kwenye Female Gospel Category mshindi ni mwimbaji wa Injili mahiri Christina Shusho. 

Best Collabo Urban Contemporary AY & Mwana FA
Female Gospel Category Christina Shusho. 

No comments:

Post a Comment