.

Thursday, July 28, 2011

WABUNGE CHADEMA WATOLEWA BUNGENI.................


Wabunge watatu wa Chadema leo wametolewa nje ya bunge baada ya kuvunja kanuni za bunge kwa kuwasha vipaza sauti (MIC) na kuongea bila mpangilio.



Wabunge hao mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu,Godbless Lema wa Arusha mjini na Mchungaji Peter Msigwa mbunge wa Iringa Mjini walitoka nje ya bunge wakisindikizwa na askari wa bunge na naibu spika wa bunge Job Ndungai.

No comments:

Post a Comment