.

Thursday, July 28, 2011

BECKHAM AWEKA MAJINA YA WATOTO WAKE KWENYE VIATU..........


Nyota wa soka ulimwenguni David Bekham anazidi kudhihirisha mapenzi makubwa aliyonayo kwa kids wake kwa kuamua kuanika majina yao kwenye viatu vyake vya kusakatia kabumbu.


Beckham aliweka majina na watoto wake ambao ni Brooklin,Cruz,Romeo pamoja na Harper seven..

No comments:

Post a Comment