.

Thursday, August 11, 2011

MAMA ALIYEKUTWA AMEKUFA BAADA YA KUPOTEA.........

Mama mmoja mkazi wa maeneo ya Tegeta jijini Dar es salaam ambaye alijifungua watoto wawili mapacha Arafa na Arafat na kwa bahati mbaya akaugua kichaa cha mimba na baadae kupotea bila kujulikana mahali alipo kwa juhudi za ndugu na jamaa za kumtafuta zikashindikana lakini jana mwili wake ukaonekana maeneo ya Tegeta akiwa amekufa na mwili wake kuwa kwenye hali mbaya.


Mashuhuda wakiwa eneo la tukio



Maiti ya mama huyo ikiwa imelala chini.
Watu wakimiminika kukimbilia eneo la tukio jana



No comments:

Post a Comment