.

Thursday, August 4, 2011

LADY GAGA,TIMBERLAKE WAKALI WA KUTUPIA...........!!!!!


Lady Gaga

Wanamuziki Justin Timberlake na Lady Gaga wameshika nafasi ya kwanza katika chaguo la jarida Vanity 2011 kwa kuwa wasanii namba moja wa kimataifa wanaovaa viwalo vikali kali duniani.Waimbaji hao wamechagulia ikiwa ni sehemu ya mikakati ya jarida hilo ya kumsaka msanii wa kimataifa anaetinga viwalo vikali vya mitindo mbalimbali duniani.


Justine Timberlake


Justine Timberlake akiwa jukwaani
Washindi wengine wanaokubalika kwa kuvaa mavazi mazuri ni pamoja na Johnny Depp, muigizaji Carey Mulligan, Nyota wa "The King's Speech" Colin Firth, mshindi wa Oscar Tilda Swinton pamoja na muigizaji wa "The Social Network's" Armie Hammer.

Johny Depp

No comments:

Post a Comment