.

Thursday, August 4, 2011

OPRAH KUPEWA TUZO YA HESHIMA...........


Opray Winfrey
Malkia wa vipindi vya TV vya mahojiano Oprah Winfrey pamoja na muigizaji James Earl Jones watapatiwa tuzo za heshima katika sherehe za utoaji tuzo za Oscar za mwaka huu.Winfrey ambaye  aliyewahi kutwaa tuzo ya Oscar ya muigizaji bora msaidizi mwaka 1985 kupitia filamu ya ''The Colour Purple'', atapewa tuzo ya Jean Hersholt Humanitarian kutokana na kujitolea kwake mno kutoa misaada.

James Earl Jones
Jones pamoja na msanii Dick Smith watapatiwa tuzo maalum kutokana na kufanya vyema katika kazi zao za uigizaji filamu.

No comments:

Post a Comment