.

Thursday, August 4, 2011

HAPPY BIRTHDAY YOUU...BARACK OBAMA....!!!!!

Rais Barrack Hussein Obama

Leo tarehe 04 Aug 2011 ni siku ya kuzaliwa kwa rais wa 44 wa Marekani Barrack Hussein Obama ambaye anatimiza miaka 50.


Rais Obama akiwa na mkewe Michelle Ohama

Barack Obama alizaliwa mwaka 1961 sawa na taifa la Tanzania ambapo alifunga ndoa na Michelle Robinson October 3,1992 na kufanikiwakupata mtoto wa kwanza Malia Ann mnmo wa July 4,1998 na baadaye Natasha ambaye aliyezaliwa June 10,2001.



Rais Obama na watoto wake Malia na Natasha pamoja na mkewe Michelle katika nyakati za furaha.

No comments:

Post a Comment