.

Thursday, August 18, 2011

KAA TAYARI KWA DEVIL'S KINGDOM............!!!!!!!


Filamu ya Devil's Kingdom ya nguli wa filamu nchini Steven Kanumba ambayo inakadiriwa kutumia mamilioni ya fedha katika utengenezaji wake na ikiwashirikisha nyota wakali wa filamu wa hapa nyumbani na pia kuwa filamu pekee iliyoweza kumleta msanii kutoka nje ya nchi inatarajiwa kutoka hivi karibuni kaa tayari.

Baadhi ya washiriki wa filamu hiyo wakati wa upigaji picha

Gwiji huyo ametumia fedha hizo ikiwa ni pamoja na ujio wa Super Star Ramsey Noah kutoka nchini Nigeria kwa ajili ya kuja kurekodi filamu hiyo ya aina yake na kuweka historia kwa kampuni yake kuonyesha nia zaidi ya kuipeleka mbele sanaa hiyo ya filamu kwa kuwashirikisha nyota wakali kutoka sehemu mbalimbali kwa ajili ya kuwakutanisha na wasanii wa hapa nyumbani kupitia kazi zao na kupata uzoefu kutoka kwa wasanii hao.
Ramsey Noah na Steven Kanumba

No comments:

Post a Comment