.

Thursday, August 18, 2011

''BEYONCE KAMA MICHAEL JACKSON''............!!!!!!

Beyonce akiwa on stage

Rapa Shawn Carter''Jay Z'' amemwagia sifa mkewe mwanadada Beyonce Knowles kuwa anamuona kama Michael Jackson wa pilia liyebaki duniani.

Beyonce na Jay Z

Jay Z amesema katika chombo kimoja cha habari nchini Marekani kuwa ufanyakazi kazi wa nguvu wa mke wake ndio unaoumpa shoo nyingi na kuwafanya baadhi ya watu kufikiria kuwa anafanya kazi kwa mashine ambapo amesema uwezo huo ameuona wakati anamsindikiza kufanya onyesho la kutangaza albamu yake ya nne.

Mfalme wa Pop Michael Jackson enzi za uhai wake akifanya shoo

Jay Z anasema anamuona mkew kama Michel Jackson wa pili aliyebaki duniani baada ya kwanza kufariki akiwa na miaka 50.

No comments:

Post a Comment