.

Thursday, August 18, 2011

YANGA ILIVYOLIWA 'DAKU' NA SIMBA............!!!!BAO 2-0......

Kibao kikionyesha 2 bila Live!!!!!

Mabao mawili kutoka kwa wachezaji Haruna Moshi ‘Boban’ na Felix Sunzu yalitosha kuinyamazishaa Yanga katika mchezo wa Ngao ya Jamii uliopigwa jana usiku katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam na kufanya Simba iibuke na ushindi wa mabao 2-0.

Timu ya soka ya Simba kabla ya mechi kuanza
Simba na Yanga zikimenyana katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam
Mchezaji wa Simba Uhuru Selemani akinyanyua juu ngao ya hisani mara baada ya kukabidhiwa rasmi katika mchezo huo.
Mashabiki wa Simba wakishangilia Game jana ilikuwa raha tupu
Wachezaji wa Simba wakishangilia kutoka kulia ni Emmanuel Okwi, Victor Costa, Uhuru Selemani, Felix Sunzu na Juma K. Juma.

No comments:

Post a Comment