.

Tuesday, August 9, 2011

BONGO MOVIES WAKATAA KUBURUZWA............

Jacob Steven 'JB' mwenyekiti wa bongo movies club

Waigizaji nyota wa filamu wanaounda timu ya soka ya Bongo Movies wamesema hawataki kuburuzwa na mtu yoyote kwani biashara ya kazi zao ni ya hiari.

Wasaanii wa Bongo Movie kutoka kushoto JB,Steve Nyerere na Vicent Kigosi 'Ray'

Mwenyekiti wa bongo movies Jacob Steven maarufu kama JB kwa niaba ya wenzake amesema kuwa kuna migogorobaina ya wasambazaji wa kazi zao kutokana na kuoneana wivu wa kibiashara ambapo amesema wao kama wasaanii  wana hiari ya kuamua kazi zao zisamabazwe na nani lakini kuna watu wanapita mitaani na kueneza maneno ya uchonganishi kwa wasanii kwa maslahi yao binafsi.

No comments:

Post a Comment