.

Tuesday, August 9, 2011

MUIGIZAJI NYOTA AFARIKI DUNIA...............


 Sam  loco efe ambaye ni comedian mzuri kutoka nchini Nigeria na kushiriki movie mbalimbali amefariki juzi akiwa chumbani kwake( hotelini) walipokuwa wameenda kurecord movie yao mpya.

Mbali na uigizaji pia alikuwa mtunzi, mwandishi wa script na ni muimbaji pia na anatambulika kama mmoja ya watu muhimu katika movie ya THING FALL APART ,wengi wetu tunaijua enzi za secondary

No comments:

Post a Comment