.

Saturday, July 30, 2011

KUNANI JLO NA P DIDDY......!!!!???


Kuna habari kuwa baada ya kuachana na mume wake Marc Anthony nyota wa muziki Jennifer Lopez amerudiana na ex wake yani mpenzi wa zama ni Sean Diddy Combs''Diddy'' na chanzo cha habari kinaripoti kuwa nyota hao walitwa wakipata Dinner pamoja NYC julai 27 mwaka huu.


Chanzo hicho kinadai Jlo alianza kujisogeza karibu kwa P Diddy baada ya ndoa yake na Marc Anthony kuanza kuyumba lakini pia ripoti za hivi karibuni zinadai Jlo alianza kuwa na mahusino na kijana mtanashati ambaye ameshiriki kama mpenzi wake katika Video ya wimbo wa ''Im Into You''.

No comments:

Post a Comment