.

Saturday, July 30, 2011

JAY Z ADAKWA AKICHAKACHUA............!!!!!


Rapa Jay Z hivi karibuni amedakwa katika mazingira ya mashaka ambayo yanamuonyesha kama anatoka nje ya ndoa yake na mke wake wa long tym Beyonce Knowles ambapo amenaswa katika hoteli moja akipata mlo wa usiku kwa staili ya wapendanao na mwanadada ambaye hakuweza kufahamika jina lake mara moja.


Jay z hakuambatana na mke wake aliyekuwa katika sherehe maalum ya utambulisho wa albamu mpya ya aliyekuwa mmoja wa member wa kundi la Destiny Child Kelly Rowland.

No comments:

Post a Comment