.

Saturday, July 30, 2011

HAPPY BIRTHDAY TO YOUU!!!!!!!.........


Leo tarehe 30 July 2011 ni siku ya kuzaliwa ya mmoja wa wamiliki wa blog hii Mamaa Salma Dacotha ambaye ni mtangazaji wa kipindi cha ''Yaliyomo yamo'' kupitia Radio One stereo kinachoruka kila siku ya Jumatatu hadi Alhamis saa 3 kamili asubuhi hadi saa 6 mchana ambapo anatimiza miaka kadhaa ya maisha yake.Blog hii inamtakia kila kheri katika maisha yake na kubariki kazi ya mikono yake siku zote akiwa na afya njema.

No comments:

Post a Comment