.

Friday, July 22, 2011

KATTY PERRY AONGOZA TUZO ZA MTV BASE...................


Nyota wa muziki wa Pop nchini Marekani Katy Perry anaongoza katika tuzo za mwaka huu za MTV base kwa kuteuliwa kuwania tuzo hizo katika vipengele tisa ambapo baadhi ya tuzo anazowania ni pamoja na video bora ya mwaka, video bora ya Pop pamoja na video yenye best special effects.


 
Mwanumuziki kutoka nchini Uingereza Adele pamoja na Kanye West wameteuliwa kuwania tuzo kwenye vipengele saba ambapo wasanii wengine walioteuliwa zaidi ya mara moja ni Lady Gaga, Beyonce pamoja na Bruno Mars.




Katty Perry anatamba na ngoma kali kama "California Gurls" na "Teenage Dream"anaweza kunyakua tuzo kibao katika vipengelea alivyochaguliwa.

No comments:

Post a Comment