.

Thursday, July 21, 2011

CHRIS BROWN APATA DILI LA MOVIE........


Nyota wa R&B kutoka nchini Marekani Chris Brown anatarajiwa kuonekana katika filamu mpya ya vichekesho itakayotokana na story iliyoandikwa na Steve Harvey kwenye kitabu chake cha Ac Like a lady,Think like man ambacho kilikuwa kitabu chenye mauzo ya hali ya juu.


Filamu hiyo inatarajiwa kuwa na jina la ''Think Like a man'' ambayo pia itawashirikisha waigizaji kama Kevin Hart,Michael Ealy,Gabrielle Union,Regina Hall,Lala Vasques na 'Entourage' Jerry Ferrara.

No comments:

Post a Comment