.

Friday, July 22, 2011

R.KELLY APATA NAFUU



Nyota wa muziki wa soul R. Kelly ameanza kupata nafuu huko Chicago, katika hospitali Illinois baada ya kufanyiwa upasuaji wa dharura kwenye koo lake.


Mwimbaji huyo wa kibao cha I Believe I Can Fly alikuwa na tatizo katika mfumo wa koo kuanzia jumanne ya wiki hii ambapo msemaji wake Allan Mayer amebainisha kuwa R. Kelly ataendelea kulazwa katika hospitali hiyo ya Kaskazini Mashariki mwa Chicago kwa muda usiojulikana.

No comments:

Post a Comment