.

Friday, July 22, 2011

RIHANNA ASIKITISHWA NA KIFO CHA FAN WAKE...........


Mwanamuziki Rihanna ameguswa na kifo cha shabiki wake kijana aliyefariki kwa ajali ya gari huku akisikiliza nyimbo zake ambapo mkali huyo wa kibao Umbrella alichanganyikiwa baada ya kubaini shabiki yake huyo Karen mwenye miaka 17, anaye miliki kurasa maalum ya twitter kwa ajili ya Rihanna amefariki katika ajali.


                                      
                                           
Rafiki wa kijana huyo alimuhabarisha Rihanna kuhusiana na tukio hilo kupitia  kwenye tuvuti ya jamii na ndipo Rihanna alipoandika ujumbe wa rambirambi uliosema shabiki wangu mkubwa amefariki dunia hii leo akiwa na umri mdogo, Karen umetutoka hatutakusahau daima.

No comments:

Post a Comment