.

Saturday, May 14, 2011

MGANGA AJITOSA KWENYE UMISS.

WAKATI warembo 12 wanatarajiwa kushiriki katika shindano la kumsaka Miss Na Mwandishi
Bagamoyo, kwa upande mwingine limefanikiwa kumuibua mmoja kati ya madaktari wa tiba mbadala ya magonjwa mbalimbali, Dk. Kahenga.
Mashindano hayo ya Vodacom Miss Bagamoyo, yaliyoandaliwa na Asilia Decoration yanatarajiwa kufanyika Mei 28, mwaka huu.
Mratibu wa shindano hilo, Awetu Amir, alisema Dk. Kahenga mwenye sifa kubwa ya utabibu ni mmoja kati ya wadhamini wa shindano hilo.
Mbali na Dk. Kahenga wengine waliodhamini ni Kampuni ya Vodacom na Redds.
Awetu aliwaomba wadhamini wengine kujitokeza kwa wingi ili kufanya mashindano yawe na mvuto.

No comments:

Post a Comment