.

Sunday, May 15, 2011

KIMWANA MANYWELE NA DHAMIRA ISIYOELEWEKA.

Kimwana Manywele Husna Iddy (Sajent) mshindi wa mwaka 2007, mwenye top ya njano akiwa na vimwana wa manywele katika mazoezi yao katika kambbi yao ya ASET iliyoko Kinondoni.,
Swali ni kwamba je ni lazma hawa vimwana wawe wanajua kukataviuno? mimi nilidhani hayo maswala kukat viuno wangewaachia bendi zenyewe zitafute mnenguaji bora wa kike. Tutamtafuta muandaaji wa shindano hili ili atupe dhumuni la shindano hili.


Husna (Sajent) akiwa na Kasim (Super K) wakiwa wanatoa maelekezo ya jinsi ya kucheza style za Twanga Pepepta.

Akiwa nao katika mpinda mgongo style.


No comments:

Post a Comment