.

Friday, April 29, 2011

"HUKU KWETU ZINA SOKO SANA TUPE FURSA TUJE TUWEKEZE NA KWAKO"


JK akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa wamafunzi
wanaosoma katika vyuo mbali mbali nchini Misri baada ya kukutana na kuzungumza nao mjini Cairo.
JK alionesha kufurahiswa na juhudi zao walizo zionesha na kujitolea kompyuta 6 na amehadi kuwasidia zaidi hapo baadae, JK alitoa mchango mara tu baada ya kusomewa risala ya wanafunzi iliyosomwa na katibu mkuu wa unoja huo ND. Gharibu nasro, ndani ya risala hiyo waliomba serekali inayo ongozwa na JK kujenga kituo cha utamadu nchi humo na Raisi aliwahidi kulifanyia kazi.

No comments:

Post a Comment